Skip to main content
Skip to main content

Upanuzi wa muundombinu warahisisha usajili wa wanafunzi wa Gredi 10

  • | KBC Video
    34 views
    Duration: 2:08
    Mwalimu mkuu wa shule ya upili ya wavulana ya Dagoretti iliyoko katika kaunti ya Nairobi, John Kairo Ndathe amesifia juhudi za serikali za kuboresha na kupanua muundombinu shuleni humo akisema hatua hiyo imerahisisha usajili wa wanafunzi wa Gredi-10. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive