Skip to main content
Skip to main content

Upinzani waitaka IEBC kupiga msasa sajili ya wapiga kura

  • | Citizen TV
    21,775 views
    Duration: 18:27
    Upinzani umeitaka IEBC kufanya uhakiki na kusafisha sajili ya wapiga kura kuelekea uchaguzi wa 2027. Viongozi wa upinzani pia wanataka tume kufanya mabadiliko katika teknolojia yake ili kuboresha ufanisi na uaminifu wa mchakato wa uchaguzi.