- 3,916 viewsDuration: 3:07Viongozi mbalimbali kutoka kaunti ya Homa Bay wanazidi kukemea visa vya ghasia vinavyozidi kushuhudiwa kwenye mikutano za siasa humu nchini. Viongozi hao wanawalaumu vijana wanaokubali kutumiwa kuzua vurugu pamoja na maafisa wa usalama wanaovalia miwani uhalifu huo.