- 237 viewsDuration: 1:46Kuna haja kwa serikali ya kitaifa na zile za kaunti kuangazia namna ya kuimarisha lugha ya mama hasa katika shule za chekechea. Gavana wa Taita Taveta Andrew Mwadime anasema lugha hizo asilia zina mchango mkubwa katika kukuza utamaduni wa jamii tofauti hapa nchini