- 55,802 viewsDuration: 1:33Tanzania imetangaza bei mpya ya juu ya mafuta inayoanza kutekelezwa hii leo Jumatano tarehe mosi Aprili 2026. Kwa mujibu wa mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini Tanzania EWURA ,kupanda kwa bei hizo kumetokana na ongezeko kubwa linalosababishwa na mzozo unaoendelea Mashariki ya kati dhidi ya Iran. Mwandishi wa BBC @sarafinarobi na taarifa zaidi - Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw