Skip to main content
Skip to main content

Vyuo vya ufundi vyatoa elimu ya utunzaji wa mazingira Mombasa

  • | Citizen TV
    240 views
    Duration: 1:14
    Wanafunzi wa vyuo vya kiufundi wametakiwa kukumbatia mtaala mpya unaoshirikisha utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi.