Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wataabika magadi baada ya kampuni ya Tata Chemicals kusimamisha shughuli zake

  • | Citizen TV
    1,177 views
    Duration: 2:12
    Mwezi mmoja baada ya kampuni ya Tata Chemicals Magadi kusimamisha shughuli zake, wakazi wa eneo hili sasa wanakabiliwa na ukosefu wa huduma muhimu, ikiwemo maji na afya.