Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Busia watakiwa kulinda miundombinu ya umeme dhidi ya wizi

  • | Citizen TV
    136 views
    Duration: 3:44
    Wakazi wa vijiji mbalimbali vya kaunti ya Busia wamehimizwa kulinda na kutunza miundomsingi ya umeme inayojengwa maeneo hayo na katika taasisi za umma kama vile shule, vituo vya afya na masoko . Wito huu umetolewa huku visa vya wizi vya nyaya na vifaa vya umeme vikiongezeka kaunti ya Busia.