Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wataka serikali iharakishe miradi ya kufufua kilimo

  • | Citizen TV
    1,143 views
    Duration: 6:25
    Kuanzia mbolea ya ruzuku hadi ongezeko la malipo ya chai na kahawa, wakulima katika sekta hizo wametaja uwekezaji wa hivi punde wa serikali kama hatua muhimu ya kufufua kilimo nchini. Hata hivyo, wakulima bado wanalalamikia kucheleweshwa kwa baadhi ya miradi inayolenga kuboresha sekta hiyo. Kamau Mwangi alizungumza na wakulima wa eneo la Kati na kuandaa taarifa ifuatayo.