Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi wawili wa Mombasa wasakwa siku nane baada ya kutoweka

  • | Citizen TV
    6,721 views
    Duration: 2:31
    Wanafunzi wawili wa kidato cha tatu mjini Mombasa wanaendelea kutafutwa, siku nane baada ya kutoweka walipoondoka nyumbani. Wazazi wa wanafunzi hao wamesema juhudi za kuwatafuta wasichana hao hazijazaa matunda. Walisema walikuwa wameenda dukani kununua maziwa kabla ya kutoweka.