Skip to main content
Skip to main content

Wananchi washerehekea usitishaji mapigano Lebanon

  • | BBC Swahili
    19,069 views
    Duration: 48s
    Wakazi wa Lebanon mjini Beirut na miji mingine wamejitokeza katika mitaa kufurahia usitishaji mapigano wa siku 10 kati ya Israel na Lebanon. Walikimbia makazi wakati wa mzozo pia wameanza kurejea kwenye maeneo yao. #bbcswahili #lebanon #Israel Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw