- 3,422 viewsDuration: 2:58Wanasiasa wanaounga mkono serikali wameendelea kumpigia debe rais William Ruto huku wakiendelea kumsuta Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kwa kuingilia siasa licha ya kuwa amemstaafu. Wakizungumza kaunti za Kisii, wanasiasa hawa wakiongozwa na kiongozi wa wengi bunge la kitaifa Kimani Ichungwah wametahadharisha upinzani kwa kile wanasema ni njama ya kupotoshwa na Rais mstaafu Kenyatta.