Skip to main content
Skip to main content

Wanawake kulipwa zaidi kunaweza kuimarisha uchumi duniani

  • | BBC Swahili
    949 views
    Duration: 3:12
    Utafiti unaonesha kuwa kupunguza pengo la mishahara kati ya wanaume na wanawake kunaweza kuimarisha uchumi wa nchi nyingi barani Afrika. Ikiwa leo ni siku ya Wanawake Diuniani, video hii inaelezea ni kwa namna gani wanawake wakilipwa mishahara mikubwa zaidi kunaweza kukuza uchumi. #bbcswahilii #wanawake #jinsi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw