Skip to main content
Skip to main content

Wasanii walipokea mirahaba ya KSh 43.6M mwaka huu

  • | Citizen TV
    40 views
    Jumuiya ya Wasanii wa Maonyesho na Haki za Ubunifu ya Kenya imesambaza shilingi milioni 43.6 kama mirahaba kwa wabunifu 5,911 mwaka huu.