- 5,220 viewsDuration: 2:34Washukiwa wa mauaji ya Dkt Victoria Mutiso, Rose Mbithe na mwanawe Chris Mulwa, wanadai kukamatwa kwao ni njama ya kutaka kunyang’anywa mali yao, ikiwemo shamba lenye thamani ya KSh 1.5 bilioni eneo la Mlolongo. Wakizungumza mahakamani, wawili hao walidai wanashutumiwa kwa kosa wasilolijua. Mbithe alikiri marehemu Mutiso aliwahi kuwa mfanyakazi wao ofisini kabla ya ndoa yake na Profesa David Ndetei kuvunjika.