- 5,154 viewsDuration: 2:58Mahakama mjini Kitale imewazuilia kwa siku 14 washukiwa watatu wa mauaji ya mfanyabiashara Joseph Njuguna, akiwemo mkewe marehemu na nduguye. Washukiwa wamehusishwa na mauaji ya mfanyabiashara huyo mashuhuri mwenye umri wa miaka 68, nyumbani kwake eneo la Chepchoina, Kaunti ya Trans Nzoia, jumamosi usiku.