2 Sep 2026 1:11 pm | Citizen TV 5,892 views Duration: 2:19 Wanaume wawili huko Kandara Mũrang'a wamelazwa katika wodi ya wagonjwa mahututi , huku wengine wanne wakipokea matibabu baada ya kubugia pombe haramu inayokisiwa kuwa na sumu.