- 2,129 viewsDuration: 1:04Wawakilishi wadi katika bunge la kaunti ya Uasin Gishu wakiongozwa na kiongozi wa wachache katika bunge hilo Kimani Wanjohi,wamekashifu vikali uhuni unaoshuhudiwa kwenye mikutano ya kisiasa. Wakizungumza mjini Eldoret Viongozi hao wamewataka maafisa wa polisi kuwajibika,na kukomesha hali hiyo na kutokubali kamwe kutumika kisiasa.