8 Sep 2026 10:18 am | Citizen TV 471 views Duration: 2:33 Wazazi wa shule ya Isinantet wameandamana wakilalamikia msururu wa matokeo mabaya ya mitihani. Pia wanataka maelezo kuhusu jinsi ufadhili wa Sh1.2 milioni ulivyotumika.