Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya magari 50 yateketea katika moto Kilimani

  • | Citizen TV
    28,291 views
    Duration: 2:02
    Zaidi ya magari 50 yameteketea katika karakana tatu eneo la Kilimani, Nairobi, katika moto uliotokea usiku wa kuamkia leo. Polisi wanaendelea kuchunguza chanzo cha moto huo.