Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya nusu ya wakenya hawatasherehekea Krismasi ambapo gharama ya maisha yatia maji sikukuu

  • | Citizen TV
    999 views
    Duration: 2:04
    Zaidi ya nusu ya wakenya hawatasherehekea sikukuu ya krismasi mwaka huu. Utafiti uliofanywa na shirika la INFOTRAK umebaini kuwa wakenya wengi hawana uwezo wa kuandaa maankuli na sherehe za krismasi, wengi wao wakisema watasalia nyumbani na familia zao tu.