Moto wa Palisade waleta uharibifu mkubwa maeneo ya Los Angeles
Wakati upepo ukipungua kasi, wafanyakazi wa zima moto hatimaye wameanza kuudhibiti moto wa msituni ulioenea katika eneo la Pacific Palisades huko Los Angeles Ijumaa (Januari 10), kiwango kamili cha uharibifu kimeweza kuonekana kutoka angani.
Mioto sita ya msituni iliyotokea kwa wakati mmoja imeteketeza maeneo jirani ya kauti ya Los Angeles tangu Alhamisi (Januari 7), imeuwa watu wasiopungua 10 na kuharibu takriban majengo 10,000.
Baada ya kuwaka na kushindikana kudhibitiwa kwa siku kadhaa, licha ya juhudi za mamia ya wafanyakazi wa zima moto waliokuwa wakipambana na moto huo kutoka angani na ardhini, moto wa Palisades uliweza kudhibitiwa kwa asilimia 8.
Cal Fire waliorodhesha viwango cha udhibiti kuwa ni asilimia 0 ilipofika Ijumaa. - Reuters
#marekani #la #wildfires #voaswahili #santamonica #malibu
17 Jun 2025
- The agency also issued prospective applicants of the way forward.
17 Jun 2025
- Only 2 nations beat Kenya, according to a new study.
17 Jun 2025
- Kioni's response comes days after Moses Kuria expressed interest in the Jubilee Secretary General position ahead of 2027.
17 Jun 2025
- The victim, identified by locals as Moureen, was found lying in a pool of blood with her throat slit, prompting widespread shock and outrage in the quiet village.
17 Jun 2025
- Suba North Member of Parliament (MP) Millie Odhiambo has called for thorough investigations into the alleged suicide incident of arrested fisherman at Kipasi police post in Suba North constituency on Sunday.
17 Jun 2025
- The national government has launched a Ksh.60 million relief programme for Tana River residents affected by perennial flooding.
17 Jun 2025
- Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
17 Jun 2025
- Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
17 Jun 2025
- The agency also issued prospective applicants of the way forward.
17 Jun 2025
- Only 2 nations beat Kenya, according to a new study.
17 Jun 2025
- DCI officer says Albert Ojwang's arrest was carried out on the orders of Mr Amin Mohammed.
17 Jun 2025
- Kenya and Finland have underscored the critical need to sustain international momentum behind Somalia’s peacebuilding process, particularly in light of the ongoing ATMIS drawdown and heightened regional sensitivities.
17 Jun 2025
- Powering East Africa's Lake Victoria petroleum and cargo transit.