Wafuasi wa Rais wa Korea Kusini waandamana kupinga kukamatwa kwake
Mamia ya wafuasi wa Rais wa Korea Yoon Suk Yeol walipinga kukamatwa kwake mbele ya ofisi inayochunguza makosa ya ufisadi ya maafisa wa ngazi ya juu katika mji wa Gwacheon Jumatano.
Maafisa wa Korea Kusini Jumatano walimkamata Rais aliyeondolewa na bunge Yoon Suk Yeol kufuatia tuhuma za uasi, huku kiongozi huyo akisema amekubali uchunguzi dhidi yake uendelee ili kuepusha “umwagaji damu”.
Yoon alionekana katika msafara wa magari akiwasili kwenye ofisi ya idara ya kupambana na ufisadi Jumatano asubuhi, ambayo inasimamia uchunguzi huo.
Maafisa wana saa 48 kumuhoji Yoon, baada ya hapo watatafuta hati ya kuendelea kumshikilia kwa siku 20 au kumuachia huru.
Yoon ni rais wa kwanza wa Korea Kusini kukamatwa akiwa madarakani, licha ya kuwa taifa hilo la Asia lina historia ya kuwafungulia mashtaka na kuwafunga jela viongozi wa zamani.
Polisi walikuwa walipeleka maafisa 3,200 kwenye makazi ya Yoon kutekeleza hati ya kumkamata Jumatano, ambako mamia ya waandamanaji wanaomuunga mkono Yoon na wanachama wa chama chake cha People Power walikuwa wamekusanyika kabla ya Alfajiri chini ya baridi kali. - Reuters
#koreakusini #rais #wafuasi #maandamano #ofisiyauchunguzi #ufisadi #voa #voaswahili
1 May 2025
- In the wake of Were's murder, Kenyans.co.ke delved into the past assassinations of political figures.
1 May 2025
- The MP was shot dead on Wednesday, April 30, in Nairobi.
1 May 2025
- The Draft Finance Bill 2025 was approved by the Cabinet this week, and it was later officially received in Parliament on Wednesday, April 30.
1 May 2025
- A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.
1 May 2025
- Education Cabinet Secretary Julius Ogamba confirmed the disbursement during the Inaugural Education Conference 2026 held at Lake Naivasha Resort.
1 May 2025
- Just two months after he warned that his life was in danger, Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were was shot dead on Wednesday evening in Nairobi.
1 May 2025
- Erin Patterson, 50, is charged with three murders -- of the parents and aunt of her estranged husband -- and one attempted murder.
1 May 2025
- The electric car firm says a report that it is hunting for a successor is "absolutely false".
1 May 2025
- In the wake of Were's murder, Kenyans.co.ke delved into the past assassinations of political figures.
1 May 2025
- The passing of Pope Francis leaves the world mourning for the departure of a beacon of humility, selflessness and moral courage. Throughout his papacy, Francis distinguished himself not by grandiosity or political calculation, but by a relentless…
1 May 2025
- Today's celebrations commemorate 60 years of championing workers’ rights in Kenya.
1 May 2025
- The 76-year-old born into a humble family of 10 children is the first clergyman from the west African country to receive a red hat, having been made cardinal in 2003 by John Paul II.
1 May 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has described Kasipul Member of Parliament Charles Were, who was shot dead on Wednesday evening in Nairobi, as a fearless and committed public servant.