- 48 views
Watekelezaji wa sheria ya mazingira katika kaunti ya Kilifi wamelivamia vilabu mbali mbali vya burudani vilivyomo katika maeneo ya makazi mjini Malindi kufuatia malalamishi ya wakazi kuhusu kero la kelele.Uvamizi huo unajiri baada ya wasimamizi wa vilabu hivyo kukaidi amri ya kuzingatia kanuni za kelele iliyopiku viwango licha ya kupokea onyo mara kadhaa. Kwa zaidi ya miaka mitatu wakazi hao wakiongozwa na wakili Nikolas Ranford, wamekuwa wakilalama kuhusu kero la kelele kutoka maeneo hayo ya burudani. Watekelezaji wa sheria ya mazingira wamekariri kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wamiliki wa vilabu wanaokaidi amri ya kanuni za kelele
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kero la kelele : Vilabu Malindi vyafungwa
- 21 Jul 2025 - Former Law Society of Kenya (LSK) President Eric Theuri has criticized the government’s decision to charge arrested protesters with terrorism-related offenses, calling the move "ridiculous" and lacking any legal foundation.
- 21 Jul 2025 - A gang of over 10 people raided a coffee factory in Mwea East, Kirinyaga County tied and injured two night watchmen before escaping with 26 bags of the farm product valued at 1.8 million.
- 21 Jul 2025 - An Indonesian ferry fire killed at least five people on Sunday, the country's coast guard said, while more than 200 others were saved with many jumping overboard to flee the huge blaze.
- 21 Jul 2025 - President William Ruto has maintained that police will not take responsibility for protesters killed or injured during demonstrations.
- 21 Jul 2025 - The Kenya Power and Lighting Company (KPLC) is grappling with escalating vandalism of electricity infrastructure in Lower Eastern, a crisis that has triggered severe operational disruptions and driven up the cost of electricity nationwide.
- 21 Jul 2025 - The move comes just days to the CHAN 2024 tournament.
- 21 Jul 2025 - Local leaders, members of the Luo Council of Elders, and family gathered at the village home of the late Dr. Phoebe Muga Asiyo in Wikondiek, Homa Bay County, to mourn and honor her legacy in line with Luo cultural traditions.
- 21 Jul 2025 - “Initially I did not discuss it with him (President Ruto), I made this proposal myself to Kenyans."
- 21 Jul 2025 - This comes weeks after HELB opened its portal.
- 21 Jul 2025 - U.S. carrier Alaska Airlines (ALK.N) grounded all of its flights after experiencing an IT outage on Sunday that impacted its systems, the company said, without specifying the nature of the outage.