- 2,567 views
Kizaazaa kilizuka katika makao makuu ya kampuni ya umeme, Kenya Power la Stima Plaza jijini Nairobi, baada ya wafanyakazi wa serikali ya kaunti ya Nairobi kurundika takataka nje ya jengo hilo na kuyabana magari kutokana na mzozo kuhusu bili za umeme. Serikali ya kaunti ya Nairobi imekuwa ikilumbana na kampuni hiyo ya usambazaji umeme kuhusu mzozo wa shilingi bilioni 3. Serikali ya kaunti inaishutumu kampuni hiyo kwa kukatiza umeme mara kwa mara na kukataa kulipa ada za ardhi inayotumiwa kwa shughuli za kusambaza umeme. Kwa upande wake Kenya Power inasisitiza kuwa lazima serikali ya kaunti ilipe bili zote za umeme zilizosalia ili kuepuka kukatiwa umeme.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Kaunti ya Nairobi yarundika taka nje ya jengo la Kenya Power
- - KCB HY2025 Earnings ››
- 20 Aug 2025 - DCP leader Rigathi Gachagua will only be allowed to hold his planned meeting at the Kamukunji grounds on Thursday if he or his party has made the requisite notifications to the police for adequate security deployment.
- 20 Aug 2025 - A dramatic frenzy unfolded in the Maasai Mara this week as tourists blatantly ignored park regulations and blocked wildebeest river crossings during the ongoing annual Great Migration.
- 20 Aug 2025 - The relationship between the two has been in question since Tuesday.
- 20 Aug 2025 - Orwoba alleged she received threats to accept the expulsion.
- 20 Aug 2025 - The tourists had even alighted from their safari vehicles.
- 20 Aug 2025 - Speaking on Wednesday after a joint dialogue with the United Nations Development Programme (UNDP) on training and capacity building, IG Kanja emphasized that the National Police Service is fully in charge of security arrangements and expects “normalcy”…
- 20 Aug 2025 - IEBC went to its social media pages to stamp the statement as fake after it went viral
- 20 Aug 2025 - This is according to the Seed Sector Performance Index (SSPI) 2023 report
- 20 Aug 2025 - The president has been at war with MPs for days.
- 20 Aug 2025 - Some civil servant retirees have gone years without receiving their pensions.