Serikali yashauriwa kuwawezesha vijana kumiliki ardhi ili waweze kujiajiri
Baadhi ya vijana wanaojihusisha na kilimo cha Kahawa nchini Tanzania wanasema bado wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ardhi ya kulima jambo linalowakwamisha kushiriki kikamilifu katika sekta ya kahawa
wameyasema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wan chi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kama anavyosema Peter Mzeya kijana Mkulima.
“Tungependa vijana wengi waingie kwenye uzalishaji wa kahawa, ingawa kuna changamoto kadhaa ambazo zinaweza kuwa juu ya uwezo wao. Serikali inapaswa kuziangalia, maana kabla hujaingia katika uzalishaji wa kahawa ni lazima umiliki ardhi. Hivyo, serikali iangalie ni jinsi gani vijana wanaweza kumiliki ardhi” amesema Mzeya
Mbali na changamoto ya ardhi vijana pia wanakabiliwa na vikwazo vya sera kanuni na mfumo wa fedha hali inayozuia ushiriki wao kikamilifu katika kuongeza thamani ya zao la kahawa.
Mkulima Mzeya alishiriki katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania.
Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania.
#mkulima #kijana #mjasiriamali #kilimo #kahawa #tanzania #voa #voaswahili #umilikiwaardhi #ajira #petermzeya
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
11 Aug 2025
- The Kenyan was part of a group which had other East African nationals.
11 Aug 2025
- Fresh fighting between the Somali government and forces loyal to the semi-autonomous southern Jubaland region killed at least two Somali soldiers on Monday, the defence ministry said.
11 Aug 2025
- Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
11 Aug 2025
- Police in Kilifi County say they have discovered seven shallow graves with human bones and skulls at Kwa Binzaro village.
11 Aug 2025
- The Nairobi Hospital on Monday announced it had suspended the implementation of its recently announced price adjustments following a meeting with medical insurance providers.
11 Aug 2025
- Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- Coach McCarthy thanked the President for the motivation saying it was a key support.
11 Aug 2025
- The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
11 Aug 2025
- He says the court has no authority to force the DPP to charge him.