Moto wa msituni wateketeza nyumba, maelfu ya watu watafutiwa hifadhi
Wafanyakazi wa zima moto wameendelea kupambana na moto mkubwa kote kaskazini mashariki mwa Japan katika mji wa mwambao wa Ofunato Ijumaa (Februari 28).
Kanda za video zilizochukuliwa kutoka angani zilionyesha moshi ukipaa angani kutoka upande wa eneo la msitu mlimani na mabaki ya majengo yaliyoteketea kwa moto.
Moto huo unakadiriwa umeunguza kiasi cha hekta 1,200 (eka2,965), shirika la utangazaji la Japan NHK limeripoti Ijumaa, likiwanukuu maafisa wa eneo. Mtu mmoja amefariki.
Zaidi ya kaya 1,300 katika eneo wamehamishwa ikiwa nimatokeo ya moto huo, vyombo vya habari vya eneo vimeripoti,huku watu zaidi ya 3,000 wakitafuta hifadhi katika maeneoyaliyotengwa kuwapokea. - Reuters
#ofunato #japan #moto #wazimamoto #mlimani #japannhk #vifo #voa #voaswahili #motowamsituni
15 Jun 2025
- Complications emerged with the protocol of official functions during Ruto and Gachagua's tenure.
15 Jun 2025
- For some people, being alongside trickling water masses initiates the urge.
15 Jun 2025
- The president also issued a warning to other contractors.
16 Jun 2025
- Residents of Elgeyo Marakwet County are raising alarm over a growing shortage of condoms, a situation that has been blamed for a spike in new HIV infections. According to Professor Sylvester Kimaiyo, Chief of Party at the Academic Model Providing Access…
16 Jun 2025
- Rescue operations are ongoing in the Kambi Karaya area of West Pokot County following the collapse of a gold mine. According to police reports, one body has been recovered, while several others remain unaccounted for. The incident was reported at Marich…
16 Jun 2025
- Official says Iran appealed to Oman and Qatar to engage the US to broker a ceasefire.
16 Jun 2025
- The Iranian death toll in four days of Israeli strikes had reached at least 224, with 90 per cent of the casualties reported to be civilians.
16 Jun 2025
- Assassination of Kasipul MP Ong’ondo Were, death of teacher Albert Ojwang’ and ODM’s internal rebellion have shaken the foundation of Ruto-Raila pact.
16 Jun 2025
- More than 100,000 small businesses across the country will benefit from a KSh5 billion grant to boost the enterprises, President William Ruto has announced. The President said the government, in partnership with the World Bank, will provide KSh50,000 to…
16 Jun 2025
- Many investigations into police killings in Nakuru have stalled, allegedly due to interference or lack of political will.
16 Jun 2025
- President Ruto has accused opposition politicians of lacking a national development agenda.
16 Jun 2025
- Manufacturers warn new rules on alcohol will hurt production
16 Jun 2025
- The silent STI threat: Why unseen infections are a growing concern