- 221 viewsWafanyakazi wa zima moto wameendelea kupambana na moto mkubwa kote kaskazini mashariki mwa Japan katika mji wa mwambao wa Ofunato Ijumaa (Februari 28). Kanda za video zilizochukuliwa kutoka angani zilionyesha moshi ukipaa angani kutoka upande wa eneo la msitu mlimani na mabaki ya majengo yaliyoteketea kwa moto. Moto huo unakadiriwa umeunguza kiasi cha hekta 1,200 (eka2,965), shirika la utangazaji la Japan NHK limeripoti Ijumaa, likiwanukuu maafisa wa eneo. Mtu mmoja amefariki. Zaidi ya kaya 1,300 katika eneo wamehamishwa ikiwa nimatokeo ya moto huo, vyombo vya habari vya eneo vimeripoti,huku watu zaidi ya 3,000 wakitafuta hifadhi katika maeneoyaliyotengwa kuwapokea. - Reuters #ofunato #japan #moto #wazimamoto #mlimani #japannhk #vifo #voa #voaswahili #motowamsituni
Moto wa msituni wateketeza nyumba, maelfu ya watu watafutiwa hifadhi
- 30 Apr 2025 - KMPDU has written to the University of Nairobi (UoN), demanding urgent measures to protect the welfare of medical registrars, who it says are being overworked and unfairly treated.
- 30 Apr 2025 - Two lovers have been arraigned in court in connection with the brutal murder and lynching of a 26-year-old woman in Likoni, Mombasa County.
- 30 Apr 2025 - Prof. Makau Mutua has landed a new job in the Kenya Kwanza administration, becoming the latest beneficiary of the broad-based government agreement between President William Ruto and former Prime Minister Raila Odinga.
- 30 Apr 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has directed that chiefs from five counties grappling with frequent livestock raids be registered and armed for self-defense.
- 30 Apr 2025 - A senior administrator in Gatundu South sub-county has died by suicide hours after going into hiding over allegations of sexually assaulting two underage boys on April 20, 2025.
- 30 Apr 2025 - Two suspects, a Kenyan and Somali national, were on Wednesday arraigned at the Makadara Law Courts for alleged involvement in human trafficking.
- 30 Apr 2025 - Just a month after ODM experienced violent incidents during grassroots elections in three Nyanza counties, resulting in several injuries and one fatality, the party’s Executive Director Oduor Ong’wen has fired a stern warning to perpetrators of the…
- 30 Apr 2025 - Detectives in Nairobi have arrested 11 suspects who defrauded a victim of Ksh.70.6 million (USD 546,000) in a fraudulent gold scheme.
- 30 Apr 2025 - Prof Mutua joins President Ruto's growing sea of advisers.
- 30 Apr 2025 - Kenya has been facing increased cases of suicide.