Maudhui ya ngono ya wasichana kwenye TikTok nani anafaidika?
Kutokana na uwepo wa video nyingi za kuburudisha na vichekesho kadha wa kadha, haishangazi kuona kwamba TikTok inapendwa na vijana nchini Kenya.
Pia ni njia moja wapo ya wao kujipatia pesa kupitia kipengele cha kuruka mubashara na kuzawadiana zawadi mbalimbali.
Lakini kuna upande mbaya zaidi, ambapo wasichana wadogo wenye umri wa miaka 15 - wanauza maudhui ya ngono wanaporuka mubashara, huku wengine wakiajiriwa na ‘madalali wa kidijitali'.
BBC Africa Eye inachunguza unyanyasaji wa kijinsia kwa wasichana na ni nani anafaidika?
Unaweza kutazama makala hii kwa urefu zaidi hapa hapa Youtube ya BBCSwahili
#bbcswahili #tiktok #kenya
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
1 May 2025
- The Finance Bill 2025 is set to help the government achieve its fiscal policies in the upcoming financial year.
1 May 2025
- Former Deputy Gachagua has highlighted the plight of Kenyan workers, slamming heightened taxes.
1 May 2025
- The presence of hawkers and boda boda riders in the Nairobi CBD has been a thorny issue for a while.
1 May 2025
- If the next pope is from sub-Saharan Africa, he would be the first in Catholic Church history. Catholic Africans think it is a long shot, though some are cautiously optimistic that Pope Francis’ successor could be a Black cardinal from their continent.
1 May 2025
- A confident President William Ruto reiterated that he will not cower from taking the unpopular leadership route to secure development for Kenyans.
1 May 2025
- President William Ruto has fulfilled his promise to sponsor 10 vulnerable girls from each of the 17 constituencies in Nairobi County.
1 May 2025
- Finance Bill 2025 will support entreprise and productivity in Kenya, President William Ruto has assured.
1 May 2025
- Central Organisation of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli has called on the government to remodel the tax deductions architecture to favour Kenyan workers.
1 May 2025
- A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.
1 May 2025
- The Finance Bill 2025 is set to help the government achieve its fiscal policies in the upcoming financial year.
1 May 2025
- Former Deputy Gachagua has highlighted the plight of Kenyan workers, slamming heightened taxes.
1 May 2025
- President William Ruto has announced the removal of all taxes on pension and gratuity payments during the Labour Day celebrations held in the capital, Nairobi.
1 May 2025
- The Employment and Labour Relations Court in Nakuru has revoked the appointment of Maasai Mara University’s Deputy Vice Chancellor for Administration, Finance and Strategy, Prof James Simirei ole...