Skip to main content
Skip to main content

Elwin Ter Horst kufurushwa nchini kufuatia kuwatukana na kuwadhalilisha maafisa wa polisi

  • | Citizen TV
    9,580 views
    Duration: 1:39
    Raia wa Uholanzi, Elwin Ter Horst, atarejeshwa kwao mara moja baada ya kunaswa kwenye kamera akiwatukana na kuwadhalilisha maafisa wa polisi katika Kituo cha Polisi cha Diani Kaunti ya Kwale.