- 25 views
Serikali imehimizwa kutenga za kuwawezesha vijana kuwa msitari wa mbele katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya anga. Akiongea kwenye mkutano uliowaleta pamoja vijana katika kaunti ya Nairobi, mwenyekiti wa baraza la kitaifa la ushauri kwa vijana, Brenda Aluoch alisema ukosefu wa mifumo dhabiti ya kusaidia vijana, uhaba wa ufadhili na taarifa zinazohitajika kuhusu nafasi zilizopo vimedumiza juhudi za vijana kushiriki kikamilifu kwenye miradi ya kukabiliana na athari za tabianchi.Aidha vijana walihimiza serikali kuweka mikakati ya kukabiliana na majanga hasa wakati huu wa mvua ya masika wakisema ajenda ya vijana inapaswa kushirikishwa katika mpango jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ushirikishi wa vijana kwenye miradi ni muhimu kwa kudhibiti tatizo la tabianchi
- 4 Jul 2025 - Russia launched its largest-ever drone and missile attack on Ukraine overnight on Friday just hours after a telephone call between US and Russian presidents ended without any breakthrough.
- 4 Jul 2025 - Russia said on Thursday it had accepted the credentials of a new ambassador of Afghanistan, making it the first nation to recognise the Taliban government of the country.
- 4 Jul 2025 - A family in Rukanga village, Mutithi Ward in Kirinyaga County has been left in shock after Wednesday's tragic road accident, which claimed three members of their family along the Mwea-Embu highway.
- 4 Jul 2025 - Every prime time, the news supply can be dizzying. Take our quiz to test how well you understood the week's most important stories.
- 4 Jul 2025 - Congo's government and Rwanda-backed rebels said on Thursday they would send delegations back to Qatar for peace talks, as Washington pushes for an end to fighting that could help unlock billions in mining investments.
- 4 Jul 2025 - This is the first appointment of a Kenyan Bishop since Pope Leo XIV became the head of the Catholic Church.
- 4 Jul 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has filed a suit for recovery of prime public land valued at Ksh 200 million located in the heart of Eldoret Central Business District. The parcels of land known as ELDORET MUNICIPALITY BLOCK 7/210 and…
- 4 Jul 2025 - The uncle revealed the aspiration would remain a dream following his death.
- 4 Jul 2025 - Plan your weekend routes wisely.
- 4 Jul 2025 - The two companies operate entirely separately, there is no shared ownership, governance or operational structure between them.