- 25 views
Serikali imehimizwa kutenga za kuwawezesha vijana kuwa msitari wa mbele katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya anga. Akiongea kwenye mkutano uliowaleta pamoja vijana katika kaunti ya Nairobi, mwenyekiti wa baraza la kitaifa la ushauri kwa vijana, Brenda Aluoch alisema ukosefu wa mifumo dhabiti ya kusaidia vijana, uhaba wa ufadhili na taarifa zinazohitajika kuhusu nafasi zilizopo vimedumiza juhudi za vijana kushiriki kikamilifu kwenye miradi ya kukabiliana na athari za tabianchi.Aidha vijana walihimiza serikali kuweka mikakati ya kukabiliana na majanga hasa wakati huu wa mvua ya masika wakisema ajenda ya vijana inapaswa kushirikishwa katika mpango jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ushirikishi wa vijana kwenye miradi ni muhimu kwa kudhibiti tatizo la tabianchi
- 9 May 2025 - Kenya’s exports continue to depend heavily on the East African Community (EAC) as a key market, according to the 2025 Kenya Economic Survey.
- 9 May 2025 - The High Court has declined to refer cases of abductions and enforced disappearances in Kenya to the International Criminal Court (ICC), ruling that national institutions are still capable of handling such matters.
- 9 May 2025 - Thursday, May 8, 2025, marked the election of the worldwide Pontiff of the Roman Catholic Church. Cardinal Robert Francis Prevost, the 267th Pontiff, was elected Pope and Archbishop of Rome and from now henceforth will be known as Pope Leo XIV.
- 9 May 2025 - Students and activists in Bungoma County have expressed anger following the court ruling on Thursday, which declined to stop the auction of properties belonging to Matili Technical Training Institute by a private developer.
- 9 May 2025 - Public Service, Human Capital Development and Special Programmes Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has outlined a raft of measures aimed at addressing systemic procurement irregularities within the National Youth Service (NYS).
- 9 May 2025 - High Court judge Lawrence Mugambi has dismissed a case filed by Eldoret-based singer William Getumbe, known for his controversial song 'Yesu Ninyandue'.
- 9 May 2025 - President William Ruto has called for reimagining of global heritage standards so as to reflect African realities better at the close of International Conference on Cultural Heritage and Authenticity in Africa.
- 9 May 2025 - The Ministry of Education has dismissed appointments made by the University of Nairobi Council, terming the process as unlawful.
- 9 May 2025 - The university is currently in a state of limbo over its top leadership.
- 9 May 2025 - The Principal Secretary of the State Department for Diaspora Affairs, Roseline Njogu, has cautioned the public regarding fraudulent recruitment schemes linked to non-existent employment opportunities for Kenyans in the Republic of South Korea. Njogu…