- 39 views
Gavana wa kaunti ya Kakamega Fernandes Barasa ametoa wito kwa wakazi kujisajili katika mpango wa halmashauri ya afya ya jamii ili kupata huduma bora za afya. Wito huo ulitolewa wakati wa maadhimisho ya siku ya Madaraka. Wakati huo huo, katika kaunti ya Busia, viongozi walielezea wasiwasi wao kutokana na kuongezeka kwa matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii miongoni mwa vijana. Huu hapa ni mkusanyiko wa taarifa kuhusu namna sherehe hizo zilivyokuwa katika maeneo ya Nyanza na Magharibi mwa Kenya.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
sherehe hizo zilivyokuwa katika maeneo ya Nyanza na Magharibi mwa Kenya.
- 21 Jul 2025 - At least 16 people, mostly students, were killed Monday when a training aircraft of the Bangladesh Air Force crashed into a school campus in the capital Dhaka, in the country's deadliest aviation accident in decades.
- 21 Jul 2025 - First-year students have also been urged to change their phone settings.
- 21 Jul 2025 - More than 50 people, including children and adults, were taken to hospital with burns
- 21 Jul 2025 - Ruto slammed for using terror laws to crush protesters, sparking outrage over a crackdown on Kenya’s freedoms.
- 21 Jul 2025 - The temporary traffic disruption will be from July 26 to November 8, 2025
- 21 Jul 2025 - The road works will run untill November 2025.
- 21 Jul 2025 - A family whose 72-year-old father is accused of conspiring to murder five of his family members has lodged a complaint at the Naivasha Law Courts over the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP)’s pace in prosecuting the case.
- 21 Jul 2025 - More Kenyan women are rewriting dowry traditions as love and economics collide
- 21 Jul 2025 - Raila made the remarks during an interview with NTV on July 20, 2025
- 21 Jul 2025 - CJ Koome urged stakeholders to work with the Judiciary in safeguarding the country’s constitutional democracy