Skip to main content
Skip to main content

Upasuaji bila malipo katika kaunti ya Kilifi

  • | Citizen TV
    414 views
    Duration: 2:11
    Maeneo bunge ya Magarini na Kilifi Kaskazini yametajwa kuwa na idadi kubwa ya watu wanaogua maradhi ya mishipa pamoja na watoto wanaokabiliwa na ugonjwa wa hernia. Kutokana na hali hiyo serikali ya kaunti ya Kilifi kwa ushirikiano na shirika la AMREF wamechukua hatua ya kuwafanyia upasuaji bila malipo waathiriwa.