Skip to main content
Skip to main content

Tovuti za wizara kadhaa za serikali zadukuliwa

  • | Citizen TV
    103 views
    Duration: 1:56
    Huduma kadhaa za serikali zilitatizwa kutwa nzima baada ya tovuti za wizara mbalimbali kudukuliwa mapema siku ya jumatatu. Udukuzi huo ulioonekana kupangwa uliathiri wizara za afya, usalama, maji, elimu na leba na kutatiza utoaji wa huduma katika idara hizi za serikali. Katibu wa usalama Raymond Omollo akitaja kundi lililohusika na udukuzi huo.