Skip to main content
Skip to main content

Shule ya msingi ya Trans Nzoia yabadilishwa na kufanywa marembesho

  • | Citizen TV
    1,536 views
    Duration: 2:50
    Shule ya msingi ya Trans Nzoia iliyojengwa enzi za ukoloni ilitambulika kwa kuwa taasisi ya elimu ya kuenziwa, lakini sasa mandhari yamebadilika na taswira iliyo sasa ni ya gofu. Lakini kama anavyoarifu Collins Shitiabayi, wanafunzi wa zamani wa shule hiyo wameamua kuibadilisha sura na kuirejesha hadhi yake ya zamani.