Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi waonywa dhidi ya kuhusika na ghasia zinazoendelea kushuhudiwa Bungoma dhidi ya uchaguzi

  • | Citizen TV
    386 views
    Duration: 1:55
    Huku uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027 ukiendelea kubisha hodi, visa vya vurugu vinaendelea kushuhudiwa kaunti ya Bungoma, Maafisa wa polisi wakitakiwa kuwajibikia majukumu yao ipasavyo.