Skip to main content
Skip to main content

Watu 2 waangamia katika mapigano mapya Transmara

  • | Citizen TV
    2,058 views
    Duration: 50s
    Watu wawili wamethibitishwa kuuwawa kwa kupigwa risasi katika mapigano yaliyozuka kati ya jamii mbili zinazoishi eneo la Angata, Transmara Kusini. Uvamizi huu ukisababishwa na madai ya jaribio la wizi wa mifugo.