Skip to main content
Skip to main content

Kenya imeingia nusu fainali kusaka tiketi ya AFCON U-17

  • | Citizen TV
    555 views
    Duration: 1:29
    Timu ya taifa ya soka kwa vijana chini ya miaka 17 Junior Stars imefuzu kuingia nusu fainali ya mchuano wa CECAFA kuwania kufuzu kwa AFCON baada ya kuilaza Sudan Kusini mbili bila.