Skip to main content
Skip to main content

Maandalizi ya mbio za Nyika za Chepsaita yanaendelea

  • | Citizen TV
    511 views
    Duration: 2:22
    Maandalizi ya awamu ya tatu ya mbio za nyika za Chepsaita yanaendelea vyema. Mfadhili wa mbio hizo Farouk Kibet amekagua uwanja wa Chepsaita, akieleza kwamba kila kitu kitakuwa tayari kwa wakati. Kibet, alitembelea uwanja huo pamoja na maafisa wa shirikisho la riadha nchini AK na wanachama wa kamati ya kuandaa shindano hilo.