Skip to main content
Skip to main content

Malava: Wakazi wahimiza wagombea kukubali matokeo ya uchaguzi

  • | Citizen TV
    884 views
    Duration: 3:13
    Wakaazi wa malava sasa wamewataka wagombea wote saba wa uchaguzi mdogo wa ubunge eneobunge hilo kukubali matokeo ya uchaguzi wakisema kuwa wana imani na IEBC kuendesha uchaguzi wa haki. Aidha msimamizi wa IEBC eneo bunge hilo Salim Abdalla amewahakikishia wakaazi kwamba uchaguzi iebc imeweka mikakati ya kutosha kuhakikisha uchaguzi huru na usalama wakati wa zoezi hili.