Skip to main content
Skip to main content

Ugunja: Polisi waonya dhidi ya machafuko, wakazi wahimizwa kufuata sheria

  • | Citizen TV
    619 views
    Duration: 2:22
    Katika eneobunge la Ugunja, maafisa wa usalama wameonya dhidi ya machafuko wakati wa uchaguzi mdogo, na kuwataka wote wanaoshiriki kuzingatia sheria. Kamanda wa polisi Ugunja Benjoliffe Munuve akisema kuwa maafisa zaidi watashika doria katika eneo hilo kando na wale walioko kwenye vituo vya kupigia kura.