Skip to main content
Skip to main content

GOR yapokea kichapo 1-4 Kutoka APs Bomet

  • | Citizen TV
    563 views
    Duration: 53s
    Mabingwa mara 21 wa ligi kuu ya kenya gor mahia fc wamepokea kichapo cha mabao 4-1 dhidi ya timu APs Bomet kwenye mechi ya ligi kuu ya taifa katika uwanja wa taifa wa Nyayo Alasiri ya leo.