- 11,261 viewsDuration: 2:50Viongozi wa upinzani nao wamedai njama ya serikali kuiba kura kwenye chaguzi ndogo zinazofanyika hapo kesho. Kinara wa DCP Rigathi Gachagua pamoja na mwenzake wa WIPER Kalonzo Musyoka na Eugine Wamalwa wa DCP wakidai mipango hii imeanza maeneo bunge ya Mbeere, Magarini na Malava. Haya yamejiri huku walinzi wa seneta wa Kakamega Boni Khalwale wakiondolewa, saa chache baada ya gavana wa Trans Nzoia George Natembeya kujipata kwenye hali sawa