Skip to main content
Skip to main content

Wagombea kumi wanamezea mate kiti katika eneobunge la Ugunja

  • | Citizen TV
    582 views
    Duration: 5:01
    Katika eneobunge la Ugunja, shughuli ya upigajikura inaendelea huku idadi ndogo tu ya wapigakura ikijitokeza. Wengi wa wanaojitokeza kupigakura ni wakongwe walio na ari ya kumchagua mrithi wa waziri Opiyo Wandayi.