Skip to main content
Skip to main content

Watu 23 wakamatwa na mapanga Kasipul huku Mbunge Kaluma akivamiwa na kupokonywa bastola

  • | Citizen TV
    15,127 views
    Duration: 4:54
    Watu 23 wamekamatwa eneobunge la Kasipul kaunti ya Homa Bay wakati wa uchaguzi mdogo, baada ya kupatikana na mapanga ndani ya magari yao. Aidha, vijana waliojihami walimvamia na kumjeruhi mbunge wa Homa Bay Town Peter Kaluma kabla ya kumpokonya mlinzi wake bastola.