Skip to main content
Skip to main content

Mgombea wa ODM Harrisson Kombe atangazwa mshinda eneobunge la Magarini kaunti ya Kilifi

  • | Citizen TV
    4,181 views
    Duration: 4:29
    Tukielekea eneobunge la Magarini kaunti ya Kilifi mgombea wa ODM Harrisson Kombe ametangazwa mshinda kwa kuzoa kura 17,909 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Stanley Kenga wa DCP aliyezoa kura 8,907.