Skip to main content
Skip to main content

Douglas Masikonde wa DCP atangazwa kuwa mwakilishi wadi mteule wa Narok mjini.

  • | Citizen TV
    3,595 views
    Duration: 1:24
    Douglas Masikonde wa DCP ametangazwa kuwa mwakilishi wadi mteule wa Narok mjini. Masikonde amezoa kura 5,997 dhidi ya mpinzani wake wa karibu wa chama cha UDA Kanyinke Ole Kudate aliyepata kura 4,479 .