Skip to main content
Skip to main content

Mwaniaji wa chama cha UDA Sofia ashinda udiwani Chewani

  • | Citizen TV
    799 views
    Duration: 2:01
    Mwaniaji wa chama cha UDA wadi ya Chewani katika kaunti ya Tana River Sofia Maro ametangazwa mshindi baada ya kuzoa kura 1,427 dhidi ya mpinzani wake wa karibu Barakatu Guyo wa chama cha Ford-Kenya aliyepata kura 1352.