Skip to main content
Skip to main content

Serikali yafungua kituo cha ushauri gerezani Shimo la Tewa kaunti ya Mombasa

  • | Citizen TV
    355 views
    Duration: 1:32
    Jitihada za kuondoa silaha na kuunganisha tena wahalifu wanaohusishwa na makundi ya silaha zimepata msukumo baada ya uzinduzi wa Kituo cha Ushauri Nasaha na Mafunzo ya Ufundi katika Gereza la Shimo la Tewa kaunti ya Mombasa.