Skip to main content
Skip to main content

Bradley Omondi kutoka kaunti ya Kakamega ashinda Ksh.500,000 katika shindano la Rubani Challenge

  • | Citizen TV
    529 views
    Duration: 2:06
    Bradley Omondi kutoka Kaunti ya Kakamega ameibuka mshindi katika shindano la Rubani Challenge kwenye Shabiki.com, na kujinyakulia shilingi nusu milioni. Omondi alipewa fursa adimu ya kuvinjari eneo la Naivasha. Kwa Hisani ya Shabiki.com ili kusherehekea ushindi Huo.