Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya Makueni ilipiga marufuku uzoaji mchanga mitoni

  • | Citizen TV
    428 views
    Duration: 2:50
    Wakazi wa maeneo ya Kima, kawese na mangala katika eneo la Kilome kaunti ya Makueni wameitaka serikali ya kaunti hiyo kukabiliana na watu wanaozoa mchanga kinyume cha sheria za kaunti hiyo na kuendelea kuharibu mazingira. Wakazi hao sasa wanasema shughuli hiyo imesababisha mito kukauka na kuwalazimu kwenda mbali kutafuta maji.